KANSA YA SHINGO YA KIZAZI

KANSA YA SHINGO YA KIZAZI

Regular price
0.00 TZS
Sale price
0.00 TZS
Regular price
Sold out
Unit price
per 
Tax included. Shipping calculated at checkout.

Kuna aina mbili za saratani ya shingo ya kizazi.:

Squamous cell carcinoma ambayo ni 90% ambayo shingo ya kizazi inakuwa tayari imekumbwa na saratani.

Adenocarcinoma ni aina ambayo seli zinazotengeneza mucus ndani ya mfereji wa shingo ya kizazi unakuwa umepata maambukizi ya saratani. Dalili zake ni pamoja na kutokwa damu bila ya mpangilio, kutokwa damu baada ya tendo la ndoa, kuendelea kutoka damu kwa mama aliyekoma hedhi, discharge yenye harufu mbaya, maumivu wakati wa tendo la ndoa na uvimbe ndani ya uke.  Visababishi ni pamoja na maambukizi ya virusi vya human papilloma. Kwa maelezo zaidi fika kwenye ofisi zetu Lion Hotel Sinza au tupigie 0787281849, 0713282930, 0764281849 tukuhudumie.  

There are two types of cervical cancer.: Squamous cell carcinoma which is 90% of which the cervix is ​​already affected by cancer. Adenocarcinoma is a type in which the cells that make mucus in the cervical canal become infected with cancer. Its symptoms include irregular bleeding, bleeding after sexual intercourse, continued bleeding in a postmenopausal mother, foul-smelling discharge, pain during sexual intercourse and vaginal swelling.  Causes include human papilloma virus infection. For more information, come to our offices at Lion Hotel Sinza or call us at 0787281849, 0713282930, 0764281849 and we will serve you